This is the fastest way to reach to the President.

Talk To President

Announcement

Taasisi ya Afisi ya Rais Ufuatiliaji na Usimamizi wa Utendaji Serikalini Zanzibar (ZPDB) inawatangazia kilele cha sherehe za miaka miwili (2) itakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 7 AU tarehe 14 Disemba, 2024 katika Hoteli ya Golden Tulip karibu na Uwanja wa Ndege wa AAKIA Zanzibar. Hivyo viongozi na waalikwa mnatakiwa kuwasili saa 1:30 asubuhi, Mgeni Rasmi ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

Useful Links